Mwanamke
ni Mtu muhimi sana Katika dunia hii maana yeye ameonekana kuwa chanzo
cha mabadiliko mengi na makubwa Dunia,lakini kwasasa tunamuongelea
mwanamke kama kiongozi na mleta mapinduzi makubwa Duniani..."Hongereni
kina Mama kwa kuleta mabadiliko Dunia"...SIKU YA WANAWAKE DUNIANI...
No comments:
Post a Comment